Zaburi 37:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+Atawaponya kutoka kwa watu waovu na kuwaokoa,+Kwa sababu wamemkimbilia yeye.+ Zaburi 115:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ee Israeli, mtegemeeni Yehova;+Yeye ndiye msaada wao na ngao yao.+ Zaburi 121:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Msaada wangu unatoka kwa Yehova,+Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+
40 Na Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+Atawaponya kutoka kwa watu waovu na kuwaokoa,+Kwa sababu wamemkimbilia yeye.+