Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Una furaha, Ee Israeli!+

      Ni nani aliye kama wewe,+

      Kikundi cha watu kinachofurahia wokovu wa Yehova,+

      Aliye ngao ya msaada wako,+

      Na Yule aliye upanga wako wa adhama?+

      Kwa hiyo adui zako watatetemeka mbele yako,+

      Na wewe—utapakanyaga mahali pao pa juu.”+

  • Zaburi 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nafsi yetu imekuwa ikimtarajia Yehova.+

      Yeye ni msaidizi wetu na ngao yetu.+

  • Zaburi 119:114
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 114 Wewe ni mahali pangu pa kujificha na ngao yangu.+

      Kwa maana nimelingojea neno lako.+

  • Zaburi 144:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Fadhili zangu zenye upendo na ngome yangu,+

      Kilele changu salama na Mwokoaji wangu,+

      Ngao+ yangu na Yeye ambaye nimemkimbilia,+

      Yule anayevitiisha vikundi vya watu chini yangu.+

  • Methali 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kila neno la Mungu ni safi.+ Yeye ni ngao kwao wanaomkimbilia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki