Mwanzo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ Methali 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kila neno la Mungu ni safi.+ Yeye ni ngao kwao wanaomkimbilia.+
15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+