1 Mambo ya Nyakati 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+ Zaburi 32:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ana maumivu mengi;+Lakini mtu anayemtegemea Yehova, fadhili zenye upendo humzingira.+ Zaburi 62:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtegemeeni nyakati zote.+Mimineni moyo wenu mbele zake.+Mungu ni kimbilio letu.+ Sela. Methali 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+
20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+