Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+

      Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+

  • Isaya 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+

  • Isaya 41:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+

  • Zekaria 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitawafanya wawe wakuu katika Yehova,+ nao watatembea huku na huku katika jina lake,’+ asema Yehova.”

  • 1 Petro 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini, mkiisha kuteseka kitambo kidogo,+ Mungu wa fadhili zote zisizostahiliwa, aliyewaita ninyi kwenye utukufu wake wa milele+ katika muungano+ na Kristo, yeye mwenyewe atamaliza mazoezi yenu, atawafanya ninyi kuwa imara,+ atawafanya ninyi kuwa wenye nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki