20“Ikiwa utaenda katika pigano juu ya adui zako nawe uone farasi na magari ya vita,+ watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa maana Yehova Mungu wako yuko pamoja nawe,+ aliyekutoa katika nchi ya Misri.+
9 Je, mimi sikukuamuru wewe?+ Uwe hodari na mwenye nguvu. Usitetemeke wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu wako yupo pamoja nawe kila mahali unapoenda.”+