Zaburi 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+ Zaburi 47:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova, Aliye Juu Zaidi, ni mwenye kuogopesha,+Mfalme mkuu juu ya dunia yote.+ Zaburi 66:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Njooni mwone matendo ya Mungu.+Kushughulika kwake na wana wa binadamu kunaogopesha.+ Zaburi 73:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mpaka nilipoingia katika patakatifu pakuu pa Mungu.+Nilitaka kuutambua wakati wao ujao.+
3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+