Ayubu 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Maneno yako yalimwinua mtu yeyote mwenye kujikwaa;+Nawe uliyaimarisha magoti yanayoyumba-yumba.+ Luka 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini nimeomba dua+ kwa ajili yako ili imani yako isififie; na wewe, mara tu utakapokuwa umerudi, watie nguvu+ ndugu zako.” Waebrania 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo inyoosheni mikono inayolegea+ na magoti yaliyo dhaifu,+
32 Lakini nimeomba dua+ kwa ajili yako ili imani yako isififie; na wewe, mara tu utakapokuwa umerudi, watie nguvu+ ndugu zako.”