Waamuzi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mara tu Gideoni alipomsikia akisimulia ndoto hiyo na kueleza maana yake,+ akainama chini na kuabudu. Kisha akarudi katika kambi ya Waisraeli na kusema, “Twendeni, kwa kuwa Yehova ameitia kambi ya Wamidiani mikononi mwenu.”
15 Mara tu Gideoni alipomsikia akisimulia ndoto hiyo na kueleza maana yake,+ akainama chini na kuabudu. Kisha akarudi katika kambi ya Waisraeli na kusema, “Twendeni, kwa kuwa Yehova ameitia kambi ya Wamidiani mikononi mwenu.”