Ayubu 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sauti ya vitu vyenye kutia hofu imo masikioni mwake;Mporaji huja juu yake wakati wa amani.+ Methali 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+ Obadia 1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maono ya Obadia: Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi kuhusu Edomu:+ “Kuna habari ambayo tumesikia kutoka kwa Yehova, na kuna mjumbe ambaye ametumwa kati ya mataifa, ‘Simameni, na tusimame tupigane naye.’ ”+
1 Maono ya Obadia: Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi kuhusu Edomu:+ “Kuna habari ambayo tumesikia kutoka kwa Yehova, na kuna mjumbe ambaye ametumwa kati ya mataifa, ‘Simameni, na tusimame tupigane naye.’ ”+