1 Wafalme 15:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ akaendelea kutembea katika njia ya Yeroboamu+ na katika dhambi yake ambayo kupitia hiyo alisababisha Israeli kutenda dhambi.+
34 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ akaendelea kutembea katika njia ya Yeroboamu+ na katika dhambi yake ambayo kupitia hiyo alisababisha Israeli kutenda dhambi.+