9 bali ukaanza kutenda vibaya zaidi kuliko wale wote waliokutangulia, nawe ukajitengenezea mungu mwingine+ na sanamu za kuyeyushwa+ ili kunitia uchungu,+ nawe umenitupa mimi nyuma ya mgongo wako;+
4 Ole wake taifa lenye dhambi,+ watu walio na kosa zito, uzao unaotenda maovu,+ wana wenye kuharibu!+ Wamemwacha Yehova,+ wamemvunjia heshima Mtakatifu wa Israeli,+ wamegeuka kuelekea nyuma.+