2 Mambo ya Nyakati 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nabii Shemaya+ akaja kwa Rehoboamu na wakuu wa Yuda waliokuwa wamekusanyika Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki, akawaambia: “Yehova anasema hivi, ‘Mmeniacha mimi, nami pia nimewaacha ninyi mikononi+ mwa Shishaki.’”
5 Nabii Shemaya+ akaja kwa Rehoboamu na wakuu wa Yuda waliokuwa wamekusanyika Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki, akawaambia: “Yehova anasema hivi, ‘Mmeniacha mimi, nami pia nimewaacha ninyi mikononi+ mwa Shishaki.’”