2 Mambo ya Nyakati 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa Shemaya+ nabii akamjia Rehoboamu na wakuu wa Yuda waliokuwa wamekusanyika Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki, naye akawaambia: “Yehova amesema hivi, ‘Ninyi mmeniacha mimi,+ nami pia nimewaacha ninyi+ mkononi mwa Shishaki.’”
5 Sasa Shemaya+ nabii akamjia Rehoboamu na wakuu wa Yuda waliokuwa wamekusanyika Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki, naye akawaambia: “Yehova amesema hivi, ‘Ninyi mmeniacha mimi,+ nami pia nimewaacha ninyi+ mkononi mwa Shishaki.’”