26 Naye akachukua hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme;+ naye akachukua kila kitu.+ Naye akachukua ngao zote za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+
14 Naye akachukua dhahabu yote na fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika nyumba ya Yehova+ na katika hazina za nyumba ya mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria.