2 Mambo ya Nyakati 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu, akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya mfalme.+ Akachukua kila kitu; kwa hiyo akazichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+ Zaburi 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa kweli mtu hutembea huku na huku kama kivuli tu.+Kwa kweli wana msukosuko ambao ni ubatili.+Mmoja anarundika vitu wala hajui ni nani atakayevikusanya.+
9 Basi Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu, akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya mfalme.+ Akachukua kila kitu; kwa hiyo akazichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+
6 Kwa kweli mtu hutembea huku na huku kama kivuli tu.+Kwa kweli wana msukosuko ambao ni ubatili.+Mmoja anarundika vitu wala hajui ni nani atakayevikusanya.+