1 Wafalme 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Akachukua hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme.*+ Alichukua kila kitu, kutia ndani ngao zote za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+
26 Akachukua hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme.*+ Alichukua kila kitu, kutia ndani ngao zote za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+