-
1 Wafalme 15:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Ndipo Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imebaki katika hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme, akaitia mkononi mwa watumishi wake; na Mfalme Asa akawatuma waende kwa Ben-hadadi+ mwana wa Tabrimoni mwana wa Hezioni, mfalme wa Siria,+ aliyekuwa akikaa Damasko,+ akisema:
-