Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Mwishowe kazi yote ambayo Mfalme Sulemani alipaswa kufanya kuhusiana na nyumba ya Yehova ikamalizika;+ na Sulemani akaanza kuingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa amevifanya kuwa vitakatifu;+ fedha na dhahabu na vyombo akaviweka katika hazina za nyumba ya Yehova.+

  • 1 Wafalme 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imebaki katika hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme, akaitia mkononi mwa watumishi wake; na Mfalme Asa akawatuma waende kwa Ben-hadadi+ mwana wa Tabrimoni mwana wa Hezioni, mfalme wa Siria,+ aliyekuwa akikaa Damasko,+ akisema:

  • 2 Wafalme 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo Hezekia akatoa fedha yote iliyopatikana katika nyumba ya Yehova+ na katika hazina za nyumba ya mfalme.+

  • 2 Wafalme 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo akaondoa hapo hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme,+ akakata vipande-vipande vyombo vyote vya dhahabu+ ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova, kama Yehova alivyokuwa amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki