2 Wafalme 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mfalme,+ akamtumia mfalme wa Ashuru rushwa.+
8 Basi Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mfalme,+ akamtumia mfalme wa Ashuru rushwa.+