2 Mambo ya Nyakati 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Baadaye Zera Mwethiopia+ akaenda kupigana nao akiwa na jeshi la watu milioni moja+ na magari mia tatu, akaja mpaka Maresha.+ 2 Mambo ya Nyakati 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Je, Waethiopia+ na Walibya+ hawakuwa jeshi kubwa sana kwa wingi, kwa magari na kwa wapanda-farasi;+ na kwa sababu ulimwegemea Yehova, je, hakuwatia mkononi mwako?+
9 Baadaye Zera Mwethiopia+ akaenda kupigana nao akiwa na jeshi la watu milioni moja+ na magari mia tatu, akaja mpaka Maresha.+
8 Je, Waethiopia+ na Walibya+ hawakuwa jeshi kubwa sana kwa wingi, kwa magari na kwa wapanda-farasi;+ na kwa sababu ulimwegemea Yehova, je, hakuwatia mkononi mwako?+