2 Mambo ya Nyakati 9:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na mambo mengine ya Sulemani,+ ya kwanza na ya mwisho, je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Nathani+ nabii na katika unabii wa Ahiya+ Mshilo,+ na katika kumbukumbu ya maono ya Ido+ mwonaji kumhusu Yeroboamu+ mwana wa Nebati?+ 2 Mambo ya Nyakati 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na yale mambo mengine ya Abiya, njia zake na maneno yake, yameandikwa katika ufafanuzi wa nabii Ido.+
29 Na mambo mengine ya Sulemani,+ ya kwanza na ya mwisho, je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Nathani+ nabii na katika unabii wa Ahiya+ Mshilo,+ na katika kumbukumbu ya maono ya Ido+ mwonaji kumhusu Yeroboamu+ mwana wa Nebati?+
22 Na yale mambo mengine ya Abiya, njia zake na maneno yake, yameandikwa katika ufafanuzi wa nabii Ido.+