2 Mambo ya Nyakati 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mambo ya Rehoboamu, ya kwanza na ya mwisho,+ je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Shemaya+ nabii na Ido+ mwonaji kulingana na maandikisho ya kiukoo? Na kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu+ na Yeroboamu+ wakati wote. 2 Mambo ya Nyakati 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na yale mambo mengine ya Abiya, njia zake na maneno yake, yameandikwa katika ufafanuzi wa nabii Ido.+
15 Na mambo ya Rehoboamu, ya kwanza na ya mwisho,+ je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Shemaya+ nabii na Ido+ mwonaji kulingana na maandikisho ya kiukoo? Na kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu+ na Yeroboamu+ wakati wote.
22 Na yale mambo mengine ya Abiya, njia zake na maneno yake, yameandikwa katika ufafanuzi wa nabii Ido.+