2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+
12Na Yehova akamtuma Nathani+ kwa Daudi. Basi akaja, akaingia kwake+ na kumwambia: “Palikuwa na wanaume wawili waliokuwa katika jiji moja, mmoja alikuwa tajiri na yule mwingine alikuwa maskini.
8 Lakini Sadoki+ kuhani na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Nathani+ nabii na Shimei+ na Rei na wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, hawakushirikiana+ na Adoniya.
11 Sasa Nathani+ akamwambia Bath-sheba,+ mama ya Sulemani:+ “Je, hujasikia kwamba Adoniya mwana wa Hagithi+ amekuwa mfalme, na bwana wetu Daudi hajui habari hizo hata kidogo?
29 Na mambo ya Daudi mfalme, ya kwanza na ya mwisho, yameandikwa katika maneno ya Samweli mwonaji+ na katika maneno ya nabii Nathani+ na katika maneno ya Gadi+ mwonaji,