Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+

  • 2 Samweli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na Yehova akamtuma Nathani+ kwa Daudi. Basi akaja, akaingia kwake+ na kumwambia: “Palikuwa na wanaume wawili waliokuwa katika jiji moja, mmoja alikuwa tajiri na yule mwingine alikuwa maskini.

  • 1 Wafalme 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Sadoki+ kuhani na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Nathani+ nabii na Shimei+ na Rei na wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, hawakushirikiana+ na Adoniya.

  • 1 Wafalme 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa Nathani+ akamwambia Bath-sheba,+ mama ya Sulemani:+ “Je, hujasikia kwamba Adoniya mwana wa Hagithi+ amekuwa mfalme, na bwana wetu Daudi hajui habari hizo hata kidogo?

  • 1 Wafalme 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mara moja Mfalme Daudi akasema: “Niitieni Sadoki+ kuhani na Nathani nabii na Benaya+ mwana wa Yehoyada.” Basi wakaingia mbele ya mfalme.

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na mambo ya Daudi mfalme, ya kwanza na ya mwisho, yameandikwa katika maneno ya Samweli mwonaji+ na katika maneno ya nabii Nathani+ na katika maneno ya Gadi+ mwonaji,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki