2 Samweli 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ikawa kwamba usiku huo neno+ la Yehova likamjia Nathani, likisema: 2 Samweli 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Nathani akamwambia Daudi kulingana na maneno hayo yote na kulingana na maono hayo yote.+