Hesabu 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+ 1 Mambo ya Nyakati 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na ikawa kwamba usiku huo neno+ la Mungu likamjia Nathani, likisema: Waebrania 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Mungu, ambaye zamani za kale alisema katika pindi nyingi+ na katika njia nyingi na mababu zetu kupitia manabii,+
6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+
1 Mungu, ambaye zamani za kale alisema katika pindi nyingi+ na katika njia nyingi na mababu zetu kupitia manabii,+