2 Samweli 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ikawa kwamba usiku huo neno+ la Yehova likamjia Nathani, likisema: 1 Mambo ya Nyakati 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi Nathani akamwambia Daudi kulingana na maneno hayo yote na kulingana na maono hayo yote.+ 2 Petro 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu+ kama walivyoongozwa na roho takatifu.+
21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu+ kama walivyoongozwa na roho takatifu.+