1 Wafalme 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Nathani+ akamuuliza Bath-sheba,+ mama ya Sulemani:+ “Je, hujasikia kwamba Adoniya+ mwana wa Hagithi amekuwa mfalme, na bwana wetu Daudi hajui lolote kuhusu jambo hilo?
11 Ndipo Nathani+ akamuuliza Bath-sheba,+ mama ya Sulemani:+ “Je, hujasikia kwamba Adoniya+ mwana wa Hagithi amekuwa mfalme, na bwana wetu Daudi hajui lolote kuhusu jambo hilo?