2 Samweli 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo, Daudi akazaa wana huko Hebroni.+ Mzaliwa wake wa kwanza aliitwa Amnoni+ na mama yake alikuwa Ahinoamu+ wa Yezreeli. 2 Samweli 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wa nne alikuwa Adoniya+ mwana wa Hagithi, na wa tano alikuwa Shefatia mwana wa Abitali.
2 Wakati huo, Daudi akazaa wana huko Hebroni.+ Mzaliwa wake wa kwanza aliitwa Amnoni+ na mama yake alikuwa Ahinoamu+ wa Yezreeli.