2 Samweli 7:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usiku huohuo, neno hili la Yehova likamjia Nathani: 5 “Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Yehova anasema hivi: “Je, utanijengea nyumba nikae ndani yake?+
4 Usiku huohuo, neno hili la Yehova likamjia Nathani: 5 “Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Yehova anasema hivi: “Je, utanijengea nyumba nikae ndani yake?+