2 Samweli 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Daudi akamtuma mtu fulani aulize kuhusu mwanamke huyo, mtu huyo akamwambia: “Ni Bath-sheba,+ binti ya Eliamu;+ mke wa Uria+ Mhiti.”+ 2 Samweli 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mara tu kipindi cha kuomboleza kilipokwisha, Daudi akaagiza aletwe nyumbani kwake, akawa mke wake+ na kumzalia mwana. Lakini jambo ambalo Daudi alikuwa amefanya lilimchukiza sana* Yehova.+
3 Daudi akamtuma mtu fulani aulize kuhusu mwanamke huyo, mtu huyo akamwambia: “Ni Bath-sheba,+ binti ya Eliamu;+ mke wa Uria+ Mhiti.”+
27 Mara tu kipindi cha kuomboleza kilipokwisha, Daudi akaagiza aletwe nyumbani kwake, akawa mke wake+ na kumzalia mwana. Lakini jambo ambalo Daudi alikuwa amefanya lilimchukiza sana* Yehova.+