1 Samweli 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 (Nyakati za kale katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi akienda kumtafuta Mungu: “Haya njooni, na twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana nabii wa leo alikuwa akiitwa mwonaji nyakati za kale.)
9 (Nyakati za kale katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi akienda kumtafuta Mungu: “Haya njooni, na twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana nabii wa leo alikuwa akiitwa mwonaji nyakati za kale.)