1 Samweli 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 (Zamani katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi alipoenda kutafuta mwongozo wa Mungu: “Njoo, twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana mtu ambaye leo anaitwa nabii, zamani aliitwa mwonaji.) 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 9:9 w05 3/15 22 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:9 The Watchtower,3/15/2005, uku. 22
9 (Zamani katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi alipoenda kutafuta mwongozo wa Mungu: “Njoo, twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana mtu ambaye leo anaitwa nabii, zamani aliitwa mwonaji.)