Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Samweli akamjibu Sauli: “Mimi ndiye mwonaji. Panda utangulie mbele yangu mahali pa juu, nawe utakula pamoja nami leo.+ Asubuhi nitakuruhusu uende, nami nitakueleza mambo yote unayotaka kujua.*

  • 2 Samweli 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mfalme akamwambia kuhani Sadoki: “Je, wewe si mwonaji?+ Rudi jijini kwa amani, na pia wachukue wana wenu wawili, Ahimaazi mwana wako na Yonathani+ mwana wa Abiathari.

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wote waliochaguliwa kuwa walinzi kwenye vizingiti walikuwa 212. Waliishi katika vijiji vyao kulingana na orodha ya ukoo wao.+ Daudi na Samweli yule mwonaji+ waliwaweka katika wadhifa wa kuaminiwa.

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Historia ya Mfalme Daudi, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, imeandikwa katika maandishi ya mwonaji Samweli, nabii Nathani,+ na mwonaji Gadi,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki