2 Samweli 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yonathani+ na Ahimaazi+ walikuwa wakikaa En-rogeli;+ basi kijakazi fulani akaenda na kuwaambia, nao wakaenda kumwambia Mfalme Daudi kwa maana hawakutaka kujihatarisha kwa kuonekana wakiingia jijini.
17 Yonathani+ na Ahimaazi+ walikuwa wakikaa En-rogeli;+ basi kijakazi fulani akaenda na kuwaambia, nao wakaenda kumwambia Mfalme Daudi kwa maana hawakutaka kujihatarisha kwa kuonekana wakiingia jijini.