27 Mwishowe Farao akawatuma watu wawaite Musa na Haruni, naye akawaambia: “Nimetenda dhambi wakati huu.+ Yehova ni mwadilifu,+ na mimi na watu wangu tumekosea.
7 Wale wote wanaowapata wamewala,+ na adui zao wamesema,+ ‘Hatutakuwa na hatia,+ kwa sababu wamemtendea dhambi Yehova ambaye ni makao ya uadilifu,+ Yehova ambaye ni tumaini la mababu zao.’”+