Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mwishowe Farao akawatuma watu wawaite Musa na Haruni, naye akawaambia: “Nimetenda dhambi wakati huu.+ Yehova ni mwadilifu,+ na mimi na watu wangu tumekosea.

  • Zaburi 89:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+

      Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+

  • Yeremia 50:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wale wote wanaowapata wamewala,+ na adui zao wamesema,+ ‘Hatutakuwa na hatia,+ kwa sababu wamemtendea dhambi Yehova ambaye ni makao ya uadilifu,+ Yehova ambaye ni tumaini la mababu zao.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki