1 Samweli 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, Daudi mwanangu, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu ya ukweli wa kwamba nafsi yangu imekuwa na thamani+ machoni pako leo. Tazama! Nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.” Zaburi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+ Mathayo 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 akisema: “Nilitenda dhambi niliposaliti damu yenye uadilifu.”+ Wakasema: “Hilo linatuhusu nini? Shauri yako!”+
21 Naye Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, Daudi mwanangu, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu ya ukweli wa kwamba nafsi yangu imekuwa na thamani+ machoni pako leo. Tazama! Nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.”
2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+
4 akisema: “Nilitenda dhambi niliposaliti damu yenye uadilifu.”+ Wakasema: “Hilo linatuhusu nini? Shauri yako!”+