Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, Daudi mwanangu, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu ya ukweli wa kwamba nafsi yangu imekuwa na thamani+ machoni pako leo. Tazama! Nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.”

  • Zaburi 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+

      Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+

  • Mathayo 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 akisema: “Nilitenda dhambi niliposaliti damu yenye uadilifu.”+ Wakasema: “Hilo linatuhusu nini? Shauri yako!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki