1 Samweli 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, mwanangu Daudi, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu umeona uhai wangu kuwa wenye* thamani+ leo. Naam, nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.”
21 Ndipo Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, mwanangu Daudi, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu umeona uhai wangu kuwa wenye* thamani+ leo. Naam, nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.”