10 Siku hii ya leo umeona kwa macho yako mwenyewe jinsi Yehova alivyokutia mikononi mwangu pangoni. Lakini mtu fulani aliposema nikuue,+ nilikusikitikia nikasema, ‘Sitainua mkono wangu dhidi ya bwana wangu, kwa maana yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.’+
11 Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kwamba niinue mkono wangu dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Sasa, tafadhali, chukua huo mkuki ulio karibu na kichwa chake na hilo gudulia la maji, twende zetu.”