Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Kesho wakati kama huu, nitatuma mtu kwako kutoka katika nchi ya Benjamini.+ Utamtia mafuta awe kiongozi juu ya watu wangu Waisraeli,+ naye atawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwa Wafilisti. Kwa sababu nimeyaona mateso ya watu wangu, na kilio chao kimenifikia.”+

  • 1 Samweli 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Samweli akachukua chupa ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa cha Sauli.+ Akambusu na kusema: “Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake.+

  • 1 Samweli 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hata hivyo, Daudi akamwambia Abishai: “Usimdhuru, kwa maana ni nani anayeweza kuinua mkono wake dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova+ na asiwe na hatia?”+

  • Zaburi 105:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

      Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki