Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akawaambia wanaume wake: “Siwezi kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kumtendea jambo kama hilo bwana wangu, mtiwa-mafuta wa Yehova, kwa kuinua mkono wangu dhidi yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+

  • 2 Samweli 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha Daudi akamuuliza: “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako kumuua mtiwa-mafuta wa Yehova?”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

      Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.’+

  • Zaburi 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+

      Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifu

      Kwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki