1 Samweli 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akawaambia wanaume wake: “Siwezi kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kumtendea jambo kama hilo bwana wangu, mtiwa-mafuta wa Yehova, kwa kuinua mkono wangu dhidi yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+ 2 Samweli 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Daudi akamuuliza: “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako kumuua mtiwa-mafuta wa Yehova?”+ 1 Mambo ya Nyakati 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.’+ Zaburi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+ Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifuKwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+
6 Akawaambia wanaume wake: “Siwezi kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kumtendea jambo kama hilo bwana wangu, mtiwa-mafuta wa Yehova, kwa kuinua mkono wangu dhidi yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+
6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+ Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifuKwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+