Kutoka 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Usimtukane Mungu+ wala kumlaani kiongozi* miongoni mwa watu wako.+ 1 Samweli 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kwamba niinue mkono wangu dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Sasa, tafadhali, chukua huo mkuki ulio karibu na kichwa chake na hilo gudulia la maji, twende zetu.” 2 Samweli 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Daudi akamuuliza: “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako kumuua mtiwa-mafuta wa Yehova?”+ 1 Mambo ya Nyakati 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.’+
11 Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kwamba niinue mkono wangu dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Sasa, tafadhali, chukua huo mkuki ulio karibu na kichwa chake na hilo gudulia la maji, twende zetu.”