Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Usimtukane Mungu+ wala kumlaani kiongozi* miongoni mwa watu wako.+

  • 1 Samweli 26:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kwamba niinue mkono wangu dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Sasa, tafadhali, chukua huo mkuki ulio karibu na kichwa chake na hilo gudulia la maji, twende zetu.”

  • 2 Samweli 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha Daudi akamuuliza: “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako kumuua mtiwa-mafuta wa Yehova?”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

      Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki