Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. 1 Samweli 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akawaambia wanaume wake: “Siwezi kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kumtendea jambo kama hilo bwana wangu, mtiwa-mafuta wa Yehova, kwa kuinua mkono wangu dhidi yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+ 1 Mambo ya Nyakati 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.’+ Zaburi 105:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
6 Akawaambia wanaume wake: “Siwezi kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Yehova, kumtendea jambo kama hilo bwana wangu, mtiwa-mafuta wa Yehova, kwa kuinua mkono wangu dhidi yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+