43 “Mlisikia kwamba ilisemwa: ‘Lazima umpende jirani yako+ na kumchukia adui yako.’ 44 Hata hivyo, ninawaambia: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi,+
9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ usiue,+ usiibe,+ usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyopo, zimejumlishwa katika maneno haya: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+