Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Marko 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ya pili ni hii, ‘Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’+ Hakuna amri nyingine iliyo kubwa kuliko amri hizi.”
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
31 Ya pili ni hii, ‘Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’+ Hakuna amri nyingine iliyo kubwa kuliko amri hizi.”