Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Mathayo 22:39, 40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’+ 40 Sheria yote na Manabii hutegemea amri hizo mbili.”+ Waroma 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ usiue,+ usiibe,+ usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyopo, zimejumlishwa katika maneno haya: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+ Wagalatia 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Sheria nzima imetimizwa* katika amri hii moja: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+ Yakobo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, ikiwa mnaifuata ile sheria ya kifalme kulingana na andiko, “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe,”+ mnafanya vema.
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’+ 40 Sheria yote na Manabii hutegemea amri hizo mbili.”+
9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ usiue,+ usiibe,+ usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyopo, zimejumlishwa katika maneno haya: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+
14 Kwa maana Sheria nzima imetimizwa* katika amri hii moja: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+
8 Basi, ikiwa mnaifuata ile sheria ya kifalme kulingana na andiko, “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe,”+ mnafanya vema.