Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

  • Mathayo 22:39, 40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’+ 40 Sheria yote na Manabii hutegemea amri hizo mbili.”+

  • Waroma 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ usiue,+ usiibe,+ usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyopo, zimejumlishwa katika maneno haya: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+

  • Wagalatia 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Sheria nzima imetimizwa* katika amri hii moja: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+

  • Yakobo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi, ikiwa mnaifuata ile sheria ya kifalme kulingana na andiko, “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe,”+ mnafanya vema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki