Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

  • Marko 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ya pili ni hii, ‘Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’+ Hakuna amri nyingine iliyo kubwa kuliko amri hizi.”

  • Luka 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Akajibu: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nafsi* yako yote kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote’+ na ‘umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”+

  • Wakolosai 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini zaidi ya mambo haya yote, jivikeni upendo,+ kwa maana huo ni kifungo kikamilifu cha muungano.+

  • Yakobo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi, ikiwa mnaifuata ile sheria ya kifalme kulingana na andiko, “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe,”+ mnafanya vema.

  • 1 Petro 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa kwa sababu mmejitakasa wenyewe* kwa kuwa watiifu kwa ile kweli na hivyo kuwa na upendo wa kindugu+ bila unafiki, pendaneni sana kutoka moyoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki