-
1 Wakorintho 13:4-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Upendo+ ni wenye subira*+ na fadhili.+ Upendo hauna wivu.+ Haujigambi, haujivuni,+ 5 haujiendeshi bila adabu,+ hautafuti faida zake wenyewe,+ hauchokozeki.+ Hauweki hesabu ya ubaya.*+ 6 Haushangilii ukosefu wa uadilifu,+ bali hushangilia pamoja na kweli. 7 Huhimili mambo yote,+ huamini mambo yote,+ hutumaini mambo yote,+ huvumilia mambo yote.+
-