Waroma 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Upendo haumfanyii uovu jirani;+ kwa hiyo, upendo ndio utimizo wa sheria.+ Waefeso 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+
32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+