Wakolosai 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu,*+ upole,+ na subira.+ 1 Petro 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwishowe, ninyi nyote fikirini kwa upatano,*+ muwe na hisia-mwenzi, upendo wa kindugu, huruma nyororo,+ na unyenyekevu.+
12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu,*+ upole,+ na subira.+
8 Mwishowe, ninyi nyote fikirini kwa upatano,*+ muwe na hisia-mwenzi, upendo wa kindugu, huruma nyororo,+ na unyenyekevu.+