-
Wafilipi 2:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Basi, ikiwa kuna jambo lolote la kutia moyo katika Kristo, ikiwa kuna faraja yoyote ya upendo, ikiwa kuna ushirika wowote wa kiroho,* ikiwa kuna upendo mwororo na huruma zozote, 2 fanyeni shangwe yangu ijae kwa kuwa na akili ileile na kuwa na upendo uleule, mkiwa mmeunganishwa kabisa,* mkiwa na wazo moja akilini.+
-